Tuesday, October 12, 2010

MAHAFALI YA SHULE YA MSINGI JITEGEMEE MJINI BAGAMOYO TAREHE 7 OCTOBER 2010

 Mkuu wa shule Jitegemee(mbele kushoto) akiwaongoza walimu wa shule hiyo kukabidhi zawadi kwa mgeni rasmi wa mahafali,Meneja wa benki ya NMB tawi la Bagamoyo bi Elizabeth Chawinga.
 Mkuu wa shule ya msingi Jitegemee Bi Dinna Mjema(kulia) akifurahia maonesho akiwa pamoja na mgeni rasmi Meneja wa benki ya NMB tawi la Bagamoyo bi Elizabeth Chawinga
Mstahiki Kim akijumuika na walimu wa shule ya msingi Jitegemee na wageni wengine kuzungusha mduara kwa agizo la mshereheshaji

No comments:

Post a Comment