Wednesday, July 27, 2011

MNUSO WA HARUSI YA JOHNSON NA TUNU NDANI YA M ALAIKA BEACH RESORT -BAGAMOYO

 Hightable ya Johnson na Tunu siku ya mnuso
 Katibu wa kamati wa mnuso bw.Michael Mihayo akitoa maelezo kwa wageni waalikwa.
 Mstahiki kushoto akiwa miongoni mwa wageni waalikwa kati Jackline na kulia mwenye suti nyeusi Msuya
 Wageni waalikwa wakiwa na dada Nuru kushoto wakijadili jambo wakati wa mnuso
 Alex Rwezaula mshauri wa blog hii akiwa na kitu chake
 Wageni waalikwa kabla kipenga cha mnuso hakijapulizwa
 Johnson na Tunu wakiingia ukumbini
 Mwalimu Mbilinyi wa Marian girls High school akiwasalimu maharusi
Maharusi wakiwa na kamati ya maandalizi

No comments:

Post a Comment