Wednesday, August 13, 2014

KIPENZI CHA WANA SIMBA SC, PATRICK PHIRI ALIPOWASILI DAR LEO KUREJESHA ENZI ZA UFALME MSIMBAZI

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 

Kocha mpya wa Simba SC, Patrick Phiri akiwapungia mikono mashabiki wa timu hiyo baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam mchana wa leo tayari kusaini Mkataba wa kurithi mikoba ya Mcroatia, Zdravko Logarusic aliyevunjiwa Mkataba mwishoni mwa wiki.

Kocha Phiri amerejea Msimbazi baada ya miaka minne


Anazungumza na Waandishi wa Habari


Amepokewa kwa mashada ya maua


Amepokewa kwa matarumbeta

No comments:

Post a Comment