Tuesday, October 25, 2011

KAMATI ZA BUNGE ZAKUTANA DAR


Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), Kabwe Zitto na Katibu wa Kamati hiyo, Eric Maseke wakitafakari jambo wakati wakijadili utendaji wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), katika kikao cha kamati hiyo, Dar es Salaam juzi.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa, Idd Azzan akizungumza wakati wa kikao cha kamati hiyo, Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mwenyekiti wa kamati hiyo, Augustino Mrema.
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi akijieleza mbele ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Dar es Salaam jana. PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA

No comments:

Post a Comment