Friday, September 9, 2011

LIUMBA AFIKISHWA KORTINI KWA KUKUTWA NA SIMU GEREZANI

Mfungwa anayeshitakiwa kwa kosa kukutwa na simu ya mkononi inayodaiwa kutoruhusiwa gerezani, Amatus Liyumba, akiongozwa na Askari Magereza kupelekwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam jana kwa ajili ya kusomewa shitaka lake hilo.

Amatus Liumba akiwa Mahakamani

No comments:

Post a Comment