Friday, September 2, 2011

Sony Ericsson yaja na simu mpya sokoni



Wakuu wa Masoko Afrika wa Kampuni ya Sony Ericsson kulia Patricia Wand na Jorgen Berg wa pili kutoka kushoto pamoja na Upendo Richard kutoka kitengo cha mauzo Vodacom Tanzania wa pili kutoka kulia na Sandhya G kushoto wakionyesha kwa pamoja simu mpya ya Sony Ericsson iliyozinduliwa leo katika hoteli ya Kilimanajro Kempinski jijini Dar es salaam
Mkuu wa Masoko Afrika Kampuni ya Sony Ericsson Patricia Wand akizungumza na wageni waalikwa mbalimbali wakati wa uzinduzi wa Simu mpya za kampuni hiyo uliofanyika kwenye hoteli ya Kilimanjaro Kempinski leo ukihudhuriwa na watu kutoka makampuni mbalimbali hapa jijini Dar es salaam.
Wageni kutoka kampuni kadhaa zilizohudhuria katika uzinduzi huo kutoka kulia ni Joseline Kamuhanda kutoka Vodacom, Victoria Lukindo Mejeja Masoko kutoka New Habari 2006 LTD, Januarius Maganga Mkurugenzi wa Biashara kutoka IPP na Prosper Vedasto Kutoka kitengo cha Masoko Africa Media Group.
Hawa ni warembo kutoka kampuni ya Sony Ericsson wakipamba uzinduzi huo kutoka kulia ni Diana Besha, Sandra Nakazibwe mna Isabela Shija.
Kutoka kulia ni Meneja wa Masoko wa Sony Ericsson Alex Ristic Gonesh B, Romo M. na Sampath K kutoka Krishna Interantional Ltd.
Kutoka kushoto ni Sandhya Kutoka Krishana Internation Ltd na Venkat M wakiwa katika uzinduzi huo.
Wadau mbalimbali wakiwa katika uzinduzi huo.
Hawa ni warembo kutoka kampuni ya Sony Ericsson wakipamba uzinduzi huo kutoka kulia ni Diana Besha, Sandra Nakazibwe mna Isabela Shija.

No comments:

Post a Comment