Tuesday, November 8, 2011

DIONIS MALINZI AIKABIDHI TAIFA STARS BENDERA YA TAIFA, AZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA USHINDI


Mwenyekiti wa Baraza la Michezo nchini (BMT) Bw. Dionis Malinzi akizungumza na wachezaji viongozi wa TFF pamoja na wadau mbalimbali, waliohudhuria katika hafla hiyo jana.
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) Leodger Tenga akizungumza katika hafla hiyo jana.
Kocha Mkuu wa timu ya taifa Taifa Stars Jan Paulsen akizungumza katika hafla hiyo ambapo aliahidi kuwa, timu yake itafanya kazi kuwabwa kuhakikisha inaondoka na Ushindi huko Chad.
Mkurugenzi wa Mahusiano Kampuni ya Bia ya Serengeti Teddy Mapunda akizungumza kwa niaba ya kampuni ya bia ya Serengeti katika hafla hiyo.
Golikipa wa timu ya Taifa Stars Juma Kaseja akipiga ngoma huku wanenguaji wa kundi la Wanne Star wakicheza wakati wa hafla ya kuwapongeza.
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo nchini (BMT) Bw. Dionis Malinzi wa pili kutoka kushoto na mkurugenziw aMahusiano (SBL) Teddy Mapunda kushoto pamoja na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Leodger Tenga wa pili kutoka kulia wakiangalia kwa makini tangazo jipya linalohamasisha ushindi kwa timu ya Tanzania Taifa Stars, kulia ni Mjumbe wa BMT Juma Pinto.
Katibu Mkuu wa (CECAFA) Nicholas Musonye kulia akiwa na wadau wakubwa wa timu ya Taifa kulia ni Crescentius Magori na Bw. Philemon katikati.

No comments:

Post a Comment