Saturday, March 26, 2011

KASHESHE KUELEKEA KWA BABU

Abiria wa basi la kukodi kutoka wilayani Nzega wakisukuma gari lililokwama kwenye mpaka wa Serengeti na Loliondo siku ya Jumatano iliyopita kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katIka maeneo hayo.Hii ni safari ya kuelekea kijiji cha Samunge kwa mchungaji Ambilikile Mwasupile kwa ajili ya kupata kikombe.

No comments:

Post a Comment