Tuesday, May 31, 2011

MBWANA SAMATA ALIVYOPOKELEWA LUBUMBASHI

 Tajiri wa TP Mazembe Moise Katumbi Chapwe  aliyeshika kinasa sauti akimwita Mbwana Samatta i;li mtambulishe kwa viongozi na mashabiki.
 Mbwana Samatta akitoa mawili matatu kwa viongozi na mashabiki wa TP Mazembe.
 Mbwana Samatta akiingia uwanjani chini ya ulinzi mkali.
Rais wa TP Mazembe akiwa amewasili uwanjani.

Wednesday, May 25, 2011

BARABARA YA KIBITI - LINDI BADO KASHESHE

 Abiria waendao Lindi na Mtwara  wakiwa wameshuka baada mabasi kukwama  katika eneo la Malendego kilometa 18 kufika Somanga siku ya Ijumaa tarehe 20 Mei 2011.Kwa miaka ya karibuni eneo kati ya Kibiti hadi Somanga huleta usumbufu mkubwa kwa wasafiri wakati wa msimu wa mvua kwasababu ya eneo kutokuwa na lami, pamoja na ujenzi kuendelea kwa kipindi kirefu sasa.
Abiria wakibadilishana mawazo mara baada ya mabasi kukwama.

Thursday, May 19, 2011

WAREMBO WA MISS UNIVERSE 2011 WAINGIA KAMBINI

Mratbu wa shindano la urembo la Miss universe Maria Sarungi akitoa maelezo kwa warembo kwenya hoteli ya Golden Turip jijini Dar es salaam leo.Warembo 20 wanatarajia kupanda jukwaani ambapo shindano hilo linatarajia kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.