Thursday, March 31, 2011

MASHUJAA MUSICA KUKAMUA KIJIJI CHA MAKUMBUSHO

Kiongozi wa bendi ya Mashujaa Musica Edward Antony a.k.a Jado F.F.U akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es salaam jana kuhusu onesho lao linalotarajiwa kufanyika kijiji cha Makumbuso siku ya Aprili mosi 2011,na kusindikizwa na Mapacha watatu.Kati ni meneja wa bendi Mujibu na kulia kabisa ni Yanick Sauti ya radi.

No comments:

Post a Comment