Friday, March 25, 2011

MKAPA AOMBOLEZA WAJAPANI

Rais mstaafu wa Tanzania Bw.Benjamin Mkapa akipeana mkono na balozi wa Japani nchini leo asubuhi alipokwenda kwa maombolezo ya wajapani waliyokosa makazi na waliyokufa kutokana na maafa ya tsunami yaliyotokea majuma mawili yaliyopita.

No comments:

Post a Comment