Tuesday, May 31, 2011

MBWANA SAMATA ALIVYOPOKELEWA LUBUMBASHI

 Tajiri wa TP Mazembe Moise Katumbi Chapwe  aliyeshika kinasa sauti akimwita Mbwana Samatta i;li mtambulishe kwa viongozi na mashabiki.
 Mbwana Samatta akitoa mawili matatu kwa viongozi na mashabiki wa TP Mazembe.
 Mbwana Samatta akiingia uwanjani chini ya ulinzi mkali.
Rais wa TP Mazembe akiwa amewasili uwanjani.

No comments:

Post a Comment