Thursday, May 19, 2011

WAREMBO WA MISS UNIVERSE 2011 WAINGIA KAMBINI

Mratbu wa shindano la urembo la Miss universe Maria Sarungi akitoa maelezo kwa warembo kwenya hoteli ya Golden Turip jijini Dar es salaam leo.Warembo 20 wanatarajia kupanda jukwaani ambapo shindano hilo linatarajia kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.

No comments:

Post a Comment