Wednesday, May 25, 2011

BARABARA YA KIBITI - LINDI BADO KASHESHE

 Abiria waendao Lindi na Mtwara  wakiwa wameshuka baada mabasi kukwama  katika eneo la Malendego kilometa 18 kufika Somanga siku ya Ijumaa tarehe 20 Mei 2011.Kwa miaka ya karibuni eneo kati ya Kibiti hadi Somanga huleta usumbufu mkubwa kwa wasafiri wakati wa msimu wa mvua kwasababu ya eneo kutokuwa na lami, pamoja na ujenzi kuendelea kwa kipindi kirefu sasa.
Abiria wakibadilishana mawazo mara baada ya mabasi kukwama.

No comments:

Post a Comment