Monday, April 11, 2011

MAFUNZO YA KAMPENI DHIDI YA MAGONJWA YASIYOPEWA UMUHIMU YAANZA BAGAMOYO

 Mkufunzi wa mafunzo yaliyofanyika katika kituo cha shule ya msingi Mwambao ya mjini Bagamoyo kushoto Bw.karindima kutoka idara ya afya ya Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo akiwa na mwenyekiti wa mafunzo kulia wakifuatilia mafunzo siku ya Alhamisi tarehe7,Aprili,2011.
 Washiriki wa mafunzo wakifuatilia mafunzo.Washiriki wa mafunzo hayo walikuwa watumishi kutoka idara za afya na elimu kwa ngazi za vijiji vya Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo.
 Washiriki wa mafunzo wakati wa mapumzilko
Mkufunzi wa mafunzo Bibi Agness Manyama kutoka idara ya afya ya Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo akifafanua jambo kwa washiriki wakati  mafunzo hayo.Kwa mujibu wa taarifa ya Manyama kampeni hiyo itaanza kati ya mwezi Aprili na Mei 2011 baada ya mafunzo ya makundi mengine yatakayohusika katika kampeni kufanyika.

No comments:

Post a Comment