Saturday, April 23, 2011

BENDI YA CHIKICHA ORIGINAL YAUSHIKA MJI WA BAGAMOYO

 Rais wa bendi na mwimbaji kiongozi wa bendi Masoud Kilimanjaro akiwajibika kwenye moja ya maonesho ya bendi kwenye ukumbi wa hoteli ya Skylight mjini Bagamoyo hivi karibuni.

 Zungu likipagawishwa na dansa wa Chikicha original
 Dansa namba moja wa Chikicha original akishambulia jukwaa
 Mpigaji wa gitaa la solo na mwimbaji, Kibugila a.k.a KB akiwajIbika.
 Mwimbaji Hassani Mabele akiwakonga roho mashabiki wa Chikicha original.
 Mwimbaji anayechipukia kwa kasi Amour Bebesi akishambulia jukwaa.
Mashabiki wa Chikicha original Dalla Zambo a.k.a mzee wa chenji kota( kushoto) akiwa na mashabiki wengine kwenye moja ya maonesho ya Chikicha original kwenye hotel ya Skylight hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment