Wednesday, April 27, 2011

KARIBU ALPHA LODGE - BAGAMOYO





Apha lodge iliyopo mtaa wa wakojani (shopping centre) ni hoteli ya hadhi ya kati iliyofunguliwa upya hivi karibuni chini ya mkurugenzi Mwanaidi Katendasi ambaye pia ni mkufunzi wa Taasisi ya sanaa na utamaduni Bagamoyo -Tasuba.Kwa mujibu wa meneja wa Alpha huduma za chakula ,vinywaji na malazi hupatikana hapo kwa viwango vya hali juu na kwa bei nafuu.Karibuni sana Bagamoyo karibuni Alpha.

No comments:

Post a Comment