Wednesday, April 13, 2011

DINNER YA JUBILEE YA MIAKA 25 YA NDOA YA BW NA BIBI MSAFIRI ILIYOFANYIKA JUMAMOSI YA TAREHE 09.04.2011 KWENYE HOTELI YA COLLUBUS-KIJITONYAMA

 Bw na bibi msafiri mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa hoteli ya collubus.
 Bw  na bibi msafiri wakipata kilaji.
 Bw msafiri akiwa anatafakari jambo.
 Bi Zena  akiwa kwenye pozi la jubilee
 Bw na bibi Msafiri wakiwa ya jubilee.
 Mwaaa hii ndiyo staili ya jubilee.
 Mzee Chabanga Hassani Dyamwale akitoa neno la jubilee.


 `Wageni waalikwa Brenda kushoto Eveta kati na Maria kulia
 Bw na bibi Faraji wa E.A.D. wakiwa miongoni mwa wageni waalikwa.
 Mkufu akiwa ndani ya jubilee.
 Wageni waalikwa wakiwa wanapata kitu roho inapenda.
 MC Kim Kimenya akihosti mnuso.
Mariam kulia na Brenda kushoto wakitawala mchezo.

No comments:

Post a Comment