Monday, June 27, 2011

FUSO LA YANGA LAMEREMETA

 Mchezaji wa Yanga na timu ya taifa akiwa na mkewe Jany Mwamasangula wakati wa hafla ya ndoa yao iliyofanyika katika ukumbi wa Makuti JKT Mgulani usiku wa kuamkia leo.Ndoa ya mwanandinga huyu mahiri na bi Jany ilifungwa juzi katika kanisa la Morovian Mburahati
 Wanandoa wakiwa na marafiki
Ndugu, jamaa na marafiki wakiwapongeza wanandoa

No comments:

Post a Comment