Monday, July 25, 2011

MBWANA MATUMLA NA FRANCIS MIYEYUSHO KUZICHAPA DIAMOND JUBILEE TAREHE 30 OKTOBA 2011

Mbwana Matula bingwa mtetezi wa UBO kulia akiwa na mpinzani wake Francis Miyeyusho wakiwa na muaandaji ambaye pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Darworldlink ltd Moddy Bawazir mara baada ya kusainiwa kwa makubaliano ya mpambano huo.

No comments:

Post a Comment