Monday, July 25, 2011

AROBAINI YA MAREHEMU MZEE MSAFIRI HASSAN KALIPENI KUFANYIKA TAREHE 29.07.2011-30.07.2011

Familiya ya marehemu mzee Msafiri Hassan Kalipeni wa mtaa wa Kanazi Kinondoni B, Dar es Salaam inapenda kuwataarifu ndugu,jamaa na marafiki kuwa arobaini ya marehemu  baba yao mpendwa itafanyika nyumbani kwao siku ya Ijumaa ijayo tarehe 29.07.2011 na kisomo kusomwa siku ya Jumamosi tarehe 30.07.2011 asubuhi.

No comments:

Post a Comment