Friday, July 29, 2011

SALHA ISRAEL ANYAKUA TAJI LA REDDS MISS ILALA 2011

 Salha katikati mara baada ya kutangazwa mshindi katika shindano lililofanyika katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.Kushoto ni mshindi wa pili Alexia William na kulia ni Jenipher Kakolaki mshindi wa tatu.
 Afisa wa udhamini wa Vodacom bw. Ibrahim Kaude akimpongeza Salha
Alexia William akijibu swali wakati wa kipindi cha maswali na majibu.

No comments:

Post a Comment