Wednesday, July 27, 2011

KAMANDA KOVA MGENI RASMI MISS ILALA 2011

Warembo wanaotarajiwa kuwania taji la Miss Ilala  2011 wakiwa kwenye pozi la pamoja.Shindano linatarajiwa kufanyika tarehe 29.07.2011 kwenye viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi anatajiwa kuwa kamanda  wa polisi wa kanda maalumu ya Dar es Salaam bw. Suleiman Kova.

No comments:

Post a Comment