Wednesday, October 13, 2010

MAHAFALI YA DARASA LA VII 2010 SHULE YA MSINGI NIANJEMA MJINI BAGAMOYO 8 OCTOBER 2010

 Mkuu wa shule ya msingi Nianjema Bi Anna Ngondya akifuatia maonesho(katikati mbele) akiwa na mgeni rasmi wa mahafali ambaye pia ni mkurugenzi mtendaji wa asasi isiyokuwa ya kiserikali ya Campaigne for good governance(CCG) ya jiini Dar es salaam bw Walace Mayunga
 Mgeni rasmi (aliyevaa suti)akifuatilia maonesho ya mahafali,kushoto kwake ni mwakilishi wa afisa elimu(w) bw.Frank kwayu
 Mzee Samahani Kejeli(aliyevaa kofia) mhifadhi wa zamani wa kituo cha mambo ya kale cha Kaole Bagamoyo akiwa miongoni mwa wageni waalikwa.
 Mkuu wa shule ya msingi nianjema akimuongoza mgeni rasmi kutoa vyeti na zawadi kwa wahitimu
 Mstahiki Kim akiwa mmoja kati ya wageni waalikwa wa mahafali
 Mwalimu Grace Peter(aliyevaa suti ya manjano)akiwa na mkuu wa shule ya msingi Bwilungu - Chalinze wakati wa chakula cha mchana kwa ajili ya mahafali.
 Mkuu wa shule ya msingi Nianjema Bi Anna Ngondya(kushoto) akiwa pamoja na mkuu wa shule ya msingi kizuiani ya mjini Bagamoyo mama Joyce Haule wakati wa chakula cha mchana kwa ajili ya mahafali
 Mshereheshaji wa "After party" mwalimu Maine akila kilauri kwenye kiwanja cha Dolphin Bagamoyo
 Mkuu wa shule ya msingi Nianjema(katikati) akiwa na wadau wakati wa "After party" kushoto ni mhasibu Michael kauruda kwenye kiwanja cha Dolphin Bagamoyo
Mkurugenzi wa gazeti la Sauti huru(kulia) akiteta jambo na mstahiki wakati wa After party iliyofanyika kiwanja cha Dolphin Bagamoyo.

No comments:

Post a Comment