Saturday, October 9, 2010

MISS TANZANIA EASTERN ZONE 2009 - TASUBA BAGAMOYO

                                        Vitalis Maembe akifanya vitu vyake kwenye onesho hilo.
 Mkurugenzi wa Kimkev entertainment waandaaji wa Miss eastern zone akisoma neno la kumkaribisha mgeni rasmi.

 Mgeni rasmi bw.Magesa Mulongo mkuu wa wilaya ya Bagamoyo akitoa baraka zake ili onesho liweze kuanza.

 Aliyekuwa mmiliki wa hoteli ya Lindi Oceanic ya mjini Lindi marehemu kanali Fusi (kati)akifuatilia onesho,kushoto mratibu wa Miss Lindi bw.Shah na kulia mjane wa Fusi.

 Warembo wakiwa kwenye  vazi la ufukweni kushoto Tory Oscar kutoka Morogoro na kulia Khadija Amir kutoka Mtwara.

                                     Barnaba na Pipi wakiburudisha kwa wimbo wa Njia panda.

 Mrembo Tory Oscar kutoka Morogoro akiwa kwenye vazi la jioni ,yeye ndiyo aliyekuwa Miss talent katika shindano miss Tanzania 2009.

 Mkuu wa itifaki wa kamati ya Miss Tanzania mjomba Makoye akinena jambo,hapa akiwa Jaji mkuu wa shindano hili.

 Top five wakiwa kwenye maswali na majibu kutoka kushoto ni Stawa Simba kutoka Mtwara,Lightness Makaya kutoka Lindi,Gloriablanca Mayowa kutoka Lindi,Tory Oscar kutoka Morogoro na Precious Donald kutoka Pwani.

 Tatu bora kati Gloriablanca Mayowa Miss eastern zone 2009 kutoka Lindi,kulia mshindi wa pili Tory Oscar kutoka Morogoro na kushoto ni  Precious Donald Kutoka Pwani    
                                                                           
                                                                              
MC Mary akisherehesha onesho. kwa wakati huo akiwa mwanachuo wa Tasuba

No comments:

Post a Comment