Sunday, October 3, 2010

MISS BAGAMOYO 2008 ILIYOANDALIWA NA KAMPUNI YA KIMKEV ENTERTAINMENT KWENYE HOTELI YA KIROMO VIEW RESORT- BAGAMOYO


Mkurugenzi wa Kimkev entertaiment bw.Kim Kimenya(kulia) akiteta jambo na bw.James Nicolaus(kushoto) mmiliki wa hoteli ya Kiromo,  kabla ya shindano la kumtafuta mrembo wa Bagamoyo 2008 kuanza  lililofanyika hotelini hapo,kati ni bw Patrice Kandokando mkuu wa itifaki wa shindano hilo.
 Mwenyekiti wa kamati ya miss bagamoyo 2008 bw. Cosmas Kadenge akitoa neno la kumkaribisha mgeni rasmi. 

 Mgeni rasmi wa shindano la kumtafuta mrembo wa Bagamoyo 2008  Mh.Serengo Mrengo(mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa wakati huo) akiongea neno la ufunguzi.

 Wanenguaji wa bendi ya Akudo impact wakishambulia jukwaa wakati wa shindano.
 Chaijaba wa Akudo impact wakati huo akifanya vitu vyake wakati wa shindano hilo.
 Top five ya Miss Bagamoyo 2008 wakati wa maswali na majibu kuanzia kushoto Wilhelmina,Rose,Ashura,Zena ,na Jackline.
Baadhi ya majaji wa miss bagamoyo 2008 Ben kinyaiya kulia na Che mundu gwao.
 mkufunzi wa Miss bagamoyo 2008 Neema Chande ambaye pia ni Miss Ruvuma 2007. 
 Tatu bora ya Miss Bagamoyo 2008.


 Miss bagamoyo 2008 Jackline chuwa ambaye pia ni muandaaji wa miss kilimanjaro 2010 akiwa kwenye pozi mara baada ya kutangazwa mshindi.
 Tatu bora ya Miss Bagamoyo kati Jackline Chuwa (mshindi),kulia Zena Mohamed mshindi wa pili na kushoto Ashura Mbwana mshindi wa tatu
 Washindi wa Miss Bagamoyo wakiwa na washabiki wa urembo. 
 Mgeni rasmi akiwa kwenye pozi na Jackline Chuwa na na mama Mrengo. 
 Mgeni rasmi mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa wakati huo mh.Serengo Mrengo akimkabidhi zawadi ya sofa seti Jackline Chuwa.
 Mgeni rasmi akimkabidhi mshindi wa nne Wilhelmina zawadi.
 Mgeni rasmi akiwa kwenye picha ya pamoja na kamati ya Miss Bagamoyo 2008 na wadau wengine.
 Mmiliki wa Hoteli ya Kiromo bw,James Nicolaus akinena jambo wakati wa shindano.
Mmoja wa majaji wa Miss Bagamoyo 2008 bw. Che mundu gwao (kati) kulia ni Maimatha aliyekuwa MC wa shindano hilo na shoto ni mkufunzi  wa warembo Neema Chande Mohamed.
 Ben na Maimatha  wakibadilishana mawazo na mgeni rasmi wa shindano.
 Mrembo Wilhelmina akiwa kwenye vazi la jioni wakati wa shindano.



No comments:

Post a Comment