Tuesday, August 2, 2011

HAMIA AIRTEL NGWASUMA YASHIKA MJI WA SONGEA

 Kiongozi wa FM Academia Nyoshi Elsadat(wa pili kushoto) akiwaongoza wanamuziki wenzake waliposhambulia jukwaa mjini Songea mwishoni  mwa wiki iliyopita kwenye onesho lililodhaminiwa na Airtel.
 Pablo Masai wa FM Academia akishambulia jukwaa.
 Wanenguaji wa FM Academia wakiwapagawisha wakazi wa mjini Songea .
Wakazi wa mjini Songea wakiserebuka.

No comments:

Post a Comment