Saturday, September 7, 2013

AZONTO KULINDIMA DAR LEO






Nana Richard Abiona aka Fuse ODG ( Pichani kulia) ...Hitmaker huyo wa 'Azonto na Antenna' Fuse ODG ambaye anatarajiwa kutoa burudani nzuri siku ya leo katika viwanja vya Ustawi wa Jamii alisema ikiwa ni mara yake ya kwanza kutoa burudani hapa Tanzania basi aahidi kuwasha moto mkubwa wa AZONTO..

Burudani hiyo inatarajiwa kuanza saa mbili usiku hadi majogoo kwa kiingilio cha Shilingi elfu kumi kwa kununua ticket kabla na elfu kumi na tano wataonunua ticketi mlangoni.
Fuse ODG atasindizwa na wasanii wengi wakiwemo,Wakazi,Banana Zorro,H Baba,Wakali Dancer, Menina, Dojo Janja, B Hit's Music Group, Madee na wengine kibao.

No comments:

Post a Comment