Saturday, September 7, 2013

Fuse ODG kuicheza style ya Azonto leo Dar



Mkali wa Azonto na Antenna Nana Richard Abiona aka Fuse ODG anatarajiwa kutoa burudani kali siku ya leo katika viwanja vya Ustawi Jamii.
Katika burudani hiyo 'Fuse ODG' atasindizwa na wasanii mbalimbali wa hapa Tanzania wakiwemo,Wakazi,Vanessa Mdee,Gosby,Janjaro,Deddy,Menina,Wakali Dancers,Madee na wengine kibao.
Ticket zinapatikana katika vituo mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam
 Kwa shilingi 10000/=
 1.Zizzo Fashion-Africa Sana
 2.Nyumbani Lounge
 3.TCC Club-Chang'ombe
 4.Dar Live
 5.Samaki Mlimani City
 6.Zantel Makao Makuu
 7.Coco Beach
 8.Zantel Ilala
 9.Jay Hustle Unique
Mlangoni ni shilingi 15000

No comments:

Post a Comment