Friday, March 16, 2012

Maonesho ya Wiki ya Maji yaanza Iringa


Katika banda la Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kuna mambo mazuri kama haya.kama yanavyoneshwa na Wafanyakazi wa Kampuni hiyo kutoka kushoto ni Afisa Mauzo wa SBL mkoani Iringa, Elias Amani, Mkurugenzi wa Mahusiano na Mawasilino wa SBL, Teddy Mapunda, Meneja Maneja Mawasiliano wa SBL, Iman Lwinga na Meneja wa Mahusiano ya Jamii wa SBL, Nandi Mwiyombela wakiwa katika banda hilo ndani ya viwanja vya Samora mjini Iringa kunakofanyika maonesho ya wiki ya Maji 2012 kitaifa. SBL imedhamini maadhimisho hayo mwaka huu. 
 Washiriki wakiendelea na kuandaa mabanda yao.
Washiriki Mbali mbali wa maonesho ya maadhimisho ya Wiki ya Maji duniani wakiwa tayari wameweka sawa mabanda yao katika Uwanja wa Samora mjini Iringa.

No comments:

Post a Comment