Friday, March 16, 2012

Sioi azidi kuwashika Arumeri Mashariki



 Sioi akiomba kura kwa wananchi wa Makiba. Kushoto ni Mbunge wa Simanjiro Christopher Ole Sendeka  na kulia  Mratibu wa kampeni za CM jimbo la Arumeru Mashariki Mwigulu Nchemba.
Wananchi wakimbeba kumpeleka jukwaani kuhutubia mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Kijiji cha Makiba kata ya Makiba, Arumeru Mashariki jana
 Katibu wa NEC, Oganaizesheni CCM, Asha Abdalla Jma akihutubia mkutano wa kampeni uwanja wa mpira wa kijiji cha Makiba.
 Mbunge wa Mtera, Mjumbea wa NEC ya CCM,  Livingstone Lusinde aka Kibajaji akihutubia Makiba.
Meja Jenerali Mstafu Mirisho Sarakikya akizungumza kwa niaba ya wazee katika mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya  Makiba
Hafsa Kazinja wa TOT akikamua Uwanja wa mpira wa Makiba
Shabiki wa CCM wa Kata ya Makiba akishangilia mkutanoni
Maelfu ya watu mkutano wa kampeni za CCM Makiba
Nchemba akihutubia Makiba

No comments:

Post a Comment