Tuesday, February 14, 2012

AY, MWANA FA, CHEGGE, TEMBA, DOGO ASLAY WAFANYA ‘KURUFU’ DAR LIVE


Wanenguaji wa Twanga Pepeta wakionyesha ‘matindo
KITUO cha maraha cha Dar Live kilichoko Mbagala jijini Dar kilirindima kwa vifijo vya burudani ya muziki kutoka vikundi mbalimbali vya wasanii.
Ilikuwa ni ‘kufuru tupu’ wakati wasanii AY akishirikiana na Mwana FA walipotoana jasho na wenzao kina Chegge na Temba kutoka katika kundi la Wanaume Family yote hayo yakisindikizwa na burudani kutoka kundi la taarab la East Africa Melody, Wakali Dancers, Dogo Aslay, Shilole na bendi ya muziki wa dansi ya African Stars 'Twanga Pepeta.. AY (kushoto) na Mwana FA wakikamua.
Temba akichana mistari.
Mwanamuziki wa 'Twanga Pepeta', Luiza Mbutu, akiimba na kucheza.
Kina ‘Rihanna’ wakiwa katika picha ya pamoja.
East African Melody wakiwa kazini 

No comments:

Post a Comment