Friday, February 17, 2012

Nembo ya Redds Miss Tanzania 2012 yazinduliwa

 Miss Tanzania 2011, Salha Izrael akiwa amesimama mbele ya nembo mpya ya REDDS MISS TANZANIA 2012 muda mfupi baada ya yeye na warembo wenzake kuizindua usiku wa kuamkia Februari 16,2012 jiji Dar es Salaam.
 Meneja wa Kinywaji cha Redds, Vick Kimaro(kushoto) na Mkurugenzi wa Mahusiano na Sheria wa TBL, Stephen Kilindo wakiungana na warembo wa Miss tanzania 2011 kugonganisha vinywaji vyao vya REDDS kuashiria kuzinduliwa rasmi kwa Msimu mpya wa mashimndano ya Urembo 2012.
 Warembo walipokuwa wakifungua pazia kuzindua nembo ya Mdhamini mpya wa Miss Tanzania 2012.
 Waliyarudi mangoma baada ya kuzindua...
 Meneja wa Chapa ya Kilimanjaro George Kavishe alikuwepo kumpa tafu Meneja wa Chapa ya REDDS, Vick Kimaro wote kutoka TBL.
 Mzee wa Jahazi, Epraim Kibonde akitoa Asalam Alekhum kwa Miss Tanzania 2011, Salha Izrael
 warembo mbalimbali walijumuika katika tafrija hiyo pale Mlimani City, hapa ni warembo wa Miss tanzania na marafiki zao katika zulia jekundu. 

 Wadau wa Mavazi Asia Idarus (shoto) na Shamim Mwasha wa 8020 blog na rafiki yao wakila pozi.
 wadau mbalimbali walikuwepo wakiwapo waandaaji wa masjhindano hayo ngazi ya vitongoji.
 Mkurugenzi wa Lino International Agency, Hashim Lundenga akiteta jambo na Mkurugenzi wa masoko wa TBL, Fimbo Butala.
.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Prashant Patel akiwa na wadau wa urembo nchini, Odhiambo, Mchata, Innocent na wengineo.
 Mdau kutoka Zantel akibadilishana mawazo na marafiki.
 Hadija Kalili na Somoe Ng'itu (kulia)  nao walifuatilia kwa ukaribu tukio hilo
 Christina Manongi (Sinta) ama J Lo wa bongo (kulia) na marafiki zake nao walikuwepo
Wazee wa taswira nao walichukuliwa taswira yao...hapa wakivizia tukio muhimu.

No comments:

Post a Comment