Thursday, February 23, 2012

Usalama wa watoto


 
Wanafunzi wa Shule za Msingi Mjini Moshi wakikimbia kuvuka barabarwakati wa mchana jana. Watoto kama hawa wamekuwa wakigongwa na magarai marakwa mara katika maeneo mengi nchini kutokana na umakini mdogo wa waendesha magari na vyombo vingine vya usafiri. Jamii haina budu kuwalinda watoto na kuwajali popote wanapokuwa.

No comments:

Post a Comment