Thursday, January 5, 2012

Balozi wa Oman,akutana na Rais Dk. Shein


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Oman Ali Ahmed Saleh,aliyefika kujitambulisha na kumuaga Rais kutokana na wadhifa wake huo alioupata Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Oman Ali Ahmed Saleh,aliyefika kujitambulisha kwa Rais Ikulu Mjini Zanzibar.
Picha na Ramadhan Othman IKulu

No comments:

Post a Comment