Monday, January 16, 2012

KOZI YA UKOCHA WA MASUMBWI YA KIMATAIFA YAANZA LEO KIBAHA MKOA WA PWANI


Baadhi ya makocha mbalimbali kutoka mikoa ya Tanzania Bara wakiwa katika kozi hiyo iliyoanza kibaha leo ikitolewa na mkufunzi wa makocha wa Masumbwi wa kimataifa Josef Diouf kutoka Shirikisho la Dunia la mchezo wa ngumi (AIBA) Picha na www.superdboxingcoa
Kocha wa Mchezo wa Ngumi Rajabu (Super D) kulia akibadilishana mawazo na mkufunzi wa makocha wa Masumbwi wa kimataifa Josef Diouf kutoka Shirikisho la Dunia la mchezo wa ngumi (AIBA) katikati ni Katibu Mkuu wa BFT, Makore Mashaga. (Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments:

Post a Comment