Monday, January 16, 2012

SIMBA NA TUSKER YA KENYA


Mshambuliaji wa Simba akichuana na kiungo wa timu ya Tusker ya Kenya, Joseph Mbugi wakati wa mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika jana Kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1.

Mshambuliaji wa Simba, Felix Sunzu akipata matibabu baada ya kuumia.

Mshambuliaji wa Simba, Felix Sunzu akichuana na beki wa Tusker ya Kenya, Brian Mandela

Timu ya Tusker ya Kenya
Timu ya Simba ya Tanzania

No comments:

Post a Comment