Sunday, January 15, 2012

Gari lililosababisha kifo cha Mbunge Regia

Hili ndilo gari alililokuwa akisafiria Mbunge wa viti Maalum CHADEMA Marehemu Regia Mtema na kupata nalo ajali. hapa likiwa katika Kituo cha polisi Mlandizi mkoani Pwani. Regia aliyekuwa akiendesha gari hili alipindukanalo jana mara tatu kwa mujibu wa mashuhuda na kusababisha kifo chake. Taratibu za mazishi bado zinaendelea kufanyika.

No comments:

Post a Comment