Thursday, January 5, 2012

RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA BALOZI ATHUMANI MHINA KIJIJINI MNYUZI, KOROGWE, MKOANI TANGA JANA

Rais Jakaya Kikwete akiwa na Rais Mstaafu Mh Benjamin Mkapa, Waziri Mkuu Mstaafu Mh Frederick Sumaye, Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Bara Mh Pius Msekwa na wao mbolezaji wengine kwenye mazishi ya Mwenyekitiwa Jumuiya ya Wazazi Taifa Balozi Athumani Mhina kijijini Mnyuzi, Korogwe, mkoani Tanga jana Jumatano January 4, 2012.
Rais Kikwete akiweka udongo kaburini
Waziri Mkuu Mstaafu Mh Frederick Sumaye akiweka udongo kaburini
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mh Pius Mzekwa akiweka udongo kaburini
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akiweka udongo kaburin
Rais Kikwete akiongozana na viongozi wengine kuelekea kaburini
Mwili wa balozi Athman Muhina ukihifadhiwa katika nyumba ya milele.
Wanafamilia ndugu jamaa na marafiki wakilia kwa uchungu mkubwa
   Mwili wa Balozi Balozi Athumani Mhina ukiombewa kabla ya kuelekea katika mazishi.Picha na Ikulu

No comments:

Post a Comment