Thursday, January 5, 2012

KAJIMA KUJENGA UPYA BARABARA YA KILWA

Sehemu ya Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam, ambayo kwa mujibu wa makubaliano ya Serikali ya Japan na Tanzania yaliyofikiwa Dar es Salaam, itajengwa tena upya na Kampuni ya Ujenzi ya Kajima baada ya awali kuvurundwa.
Waziri wa Ujenzi, John Magufuli (kushoto) akibadilishana hati za makubaliano na Balozi wa Japan nchini, Masaki Okada baada kutiliana saini mkataba ambapo Serikali ya Japan imekubali Kampuni ya Kajima kurudia tena kujenga upya Barabara ya Kilwa ambayo ilijengwa vibaya na kampuni hiyo. Hafla hiyo ilifanyika, Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment