Thursday, April 5, 2012

AMINI AAMUA KUOA KIMYA KIMYA


 












 Msanii wa kizazi kipya, kutoka THT Amini hatimaye ameamua kuachana na ukapela kwa kuvuta jiko kimya kimya. Harusi hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika Kanisa la Kiinjili la Kirutheli Tanzania, Azania Front jijini Dar es Salaam. 
Picha hiyo inawaonyesha maharusi wakitoka kanisani kwa nderemo na vifijo.

 ...Hahahahahahahahahahahahaha
 












 Maharusi wakiingia katika gari lao mara baada ya kufunga pingu za maisha.

 .












..Ilikuwa ni nderemo na vifijo
 ....
 












 Picha ya ukumbusho kwa wazazi na maharusi

No comments:

Post a Comment