Sunday, April 1, 2012

SEMINA YA MAWAKALA WA MISS TANZANIA 2012 YAKAMILIKA


 Wakala wa Miss Tanzania 2012, kutoka Ukonga jijini Dar es Salaam, Daudi Mambya akichangia mada wakati wa semina ya siku mbili ya Mawakala wa Redds Miss Tanzania 2012 iliyofanyika kwa siku mbili na kumalizika tarehe 29.03.201 jijini Dar es Salaam.
 Katibu wa Kamati ya Miss Tanzania, Bosco Majalkiwa (kulia) akizungumza wakati wa Semina ya Mawakala wa Mashindano ya Redds Miss Tanzania 2012 inayofanyika kwa siku mbili na kumaliza jana jijini Dar es Salaam. Pamoja nae ni  Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga.
 Wakala wa Miss Tanzania 2012, kutoka Mara, Godsos Mkama akichangia mada wakati wa semina ya siku mbili ya Mawakala wa Redds Miss Tanzania 2012 iliyofanyika kwa siku mbili na kumalizika tarehe 29.03.2012 jijini Dar es Salaam.
 Wakala wa Miss Tanzania 2012 kutoka Mkoa wa Shinyanga, Asela Magaka akichangia mada wakati wa semina ya siku mbili ya Mawakala wa Redds Miss Tanzania 2012 iliyofanyika kwa siku mbili  jijini Dar es Salaam.
Washiriki mbalimbali ambao ni Mawakala wa Miss Tanzania wakifuatilia mada mbalimbali katika semina hiyo .

No comments:

Post a Comment