Sunday, April 1, 2012

Utoaji tuzo za EJAT kwa Waandishi Bora wa Habari Tanzania


 Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Teddy Mapunda akikabidhi tuzo kwa mwandhishi wa habari wa Mlimani Radio Tuma Dandi mshindi wa habari za watu wenye ulemavu- Redio
 Rais Dkt. Jakaya Kiwete akimkabidhi tuzo Mshindi wa Jumla wa tuzo za Mwaka huu za EJAT, Nevile Meena ambayo ilienda sambamba na Hundi ya USD 4000.
 Fili Karashani akipokea tuzo kutoka kwa Rais Jakaya Kiwete na Hundi ya Sh Milioni 10.
 Mkurugenzi wa Executive Solution, Agrey Mareale (kushoto) akikabidhi tuzo, Cheti na zawadi ya Laptop, Mshindi wa tuzo ya Mpigapicha Bora, Hamis Hamad "Mkojani"  kutoka Magazeti ya Chama cha Mapinduzi.
 Mkurugenzi wa Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF) Ernest Sugura (kulia) nae akikabidhi moja ya tuzo hizo.
 Mwakilishi wa TBC Dodoma, Victoria nae alipokea tuzo yake.
 Rais Dkt. Jakaya Kiwete akizungumza jambo na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Reginal Mengi wakati walipokutana katika halfa hiyo ya utoaji tuzo za EJAT.
Muhidin Michuzi ambaye ni mpigapicha wa siku nyingi nchini akimpongeza Hamisi Hamad kwa kutwaa tuzo ya Mpigapicha Bora.

No comments:

Post a Comment