Tuesday, August 9, 2011

JK AMPOKEA RAIS WA SOMALIA

 Rais Kikwete kulia akiwa na mgeni wake  rais wa Somalia Sheikh Sharif Sheikh Ahmed mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo.
 Rais Kikwete akisalimiana na mgeni wake mara baada ya kuwasili .
 Askari wa JWTZ wakiwa kwenye gwaride rasmi la kumpokea mgeni.

Wasanii wa JKT wakitoa burudani kabla ya ujio wa mgeni.

No comments:

Post a Comment