Thursday, August 25, 2011

Warembo wa Miss Tanzania 2011 wapata elimu ya M Pesa kutoka Vodacom

 

Meneja Huduma wa Bidhaa za Vodacom, Elihuruma Ngowi akifafanua jambo juu  ya huduma ya M Pesa kwa washiriki wa Shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011 katika kambi yao iliyopo jumba la Vodacom jijini Dar es Salaam juziAfisa Utawala wa Huduma ya M Pesa kutoka Vodacom, Emmanuel Pallangyo akitoa mada juu ya huduma ya M Pesa kwa washiriki wa Shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011 katika kambi yao iliyopo jumba la Vodacom jijini Dar es Salaam juzi.
Baadhi ya washiriki wa shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011, wakijisajili katika huduma ya M Pesa baada ya kupata semina juu ya faida na umuhimu wa kuwa umejisajili katika huduma hiyo juzi wakiwa Kambini katika Jumba la Vodacom

No comments:

Post a Comment