Monday, August 29, 2011

Wateja wa Vodacom kushindania zaidi ya Bilioni moja kupitia Promosheni ya Mega


Ofisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Vodacom Tanzania, Mwamvita Makamba akiongea na waandishi wa habari kuhusu promosheni Mpya ya Mega inayowawezesha wateja kushiriki na kushinda bila kutozwa fedha. Mazungumzo hayo yalifanyika Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Mahusiano ya Wateja, Charity Safford.
Ofisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Vodacom Tanzania, Mwamvita Makamba akielezea namna ya kushiriki katika promosheni Mpya ya Mega inayowawezesha wateja kushiriki na kushinda bila kutozwa fedha. Mazungumzo hayo yalifanyika Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Mahusiano ya Wateja, Charity Safford

No comments:

Post a Comment