Saturday, August 27, 2011

NBC yaipa Tiketi timu ya Walemavu itakayoshiriki All Africa Games


Meneja Uhusiano wa Benki ya NBC Tanzania, Robi Matiki-Simba  (kulia) akikabidhi tiketi saba za ndege za kwenda na kujrudi Msumbiji  kwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezom la Taifa (BMT) Kanali Iddi  Kipingu kwa ajili ya timu ya Tanzania ya wanamichezo wenye ulemavu  inayotarajiwa kushiriki michuano ya Afrika ya  nchini  Msumbiji kuanzia Septemba 3 mwaka huu. Hafla ya makabidhiano  ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Kamati  ya Paralimpiki Tanzania, Iddi Kibwana.
Baadhi ya timu ya Tanzania ya Paralimpiki wakipozi kwa picha na  Kanali Kipingu, Meneja Uhusiano wa NBC, Bi. Robi na Katibu Mkuu wa  TPC, Iddi Kibwana katika hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment