Wednesday, August 10, 2011

MWAJABU ATWAA TAJI LA VODACOM TOP MODEL 2011

 Mshindi wa Taji la Top Model Vodacom Miss Tanzania 2011, Mwajabu Juma akipozi mbele ya camera baada ya kutajwa kuwa ndiye mshindi na mrembo wa kwanza kuingia Nusu Fainali itakayokuwa na warembo 15 bora wa Vodacom Miss Tanzania 2011
 Usipokubali kushindwa we si mshindani...warembo wenzake walioingia 5 bora ya Top Model wakishangilia na kukubaliana na matokeo baada Mwajabu Juma kutangazwa.
 Mwajabu Juma akionesha makeke yake baada ya kutangazwa..
 Top Model wa Vodacom Miss Tanzania 2011 Mwajabu Juma akipongezwa na warembo wenzake.
Kutoka kushoto ni Jeniffer Kakolaki, Alexia William, Zerulia Manonko, Cynthia Kimath na Mwajabu Juma wakiwa katika pozi kabla ya kutangazwa mshindi

No comments:

Post a Comment