Wednesday, August 24, 2011

NASRI AFAULU VIPIMO VYA AFYA MAN CITY


SAMIR NASRI AKITOKA KATIKA HOSPITAL YA BRIDGEWATER-MANCHESTER
Samir Nasri amefaulu vipimo vya afya vya kujiunga na Manchester City leo jioni, anategemewa kusaini mkataba wa miaka 5 wa kuitumikia klabu hiyo ya Eastlands.
Nasri anategemea kupata mshahara wa £185,000 kwa wiki mara mbili zaidi ya aliokuwa akipata akiwa na Arsenal.

No comments:

Post a Comment