Tuesday, August 2, 2011

SALAMU ZA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI

Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Dkt.Ally Mohamedi Sheini akisoma salamu za mwezi mtukufu wa ramadhani,ambapo aliihasa jamii kutenda mema ndani ya mwezi kwa kutii yote yaliyoagizwa  na mwenyezi mungu.

Aidha blog ya KIMKEV inawatakia kila la kheri waislmu wote katika mwezi huu wa toba.

No comments:

Post a Comment